Wafransisko

Kutoka Wikibooks

WAFRANSISKO

Fransisko wa Asizi (1182-1226) alianzisha tapo la kiroho lenye matawi makuu matatu: utawa wa kwanza ndio Ndugu Wadogo, utawa wa pili ndio Mabibi Fukara Waklara, utawa wa tatu ndio Wafransisko Wasekulari. Wa kwanza ni wanaume waseja wanaoishi kijumuia, wa pili ni wanawake waseja wanaoishi kimonaki, wa tatu ni wanaume na wanawake wa kila aina.

Jedwali la matunda bora ya familia ya Kifransisko ni kama ifuatavyo:



Wenyeheri 
Watakatifu 
Jumla 

Utawa I

181 
85 
266 

Utawa II

27 
10 
37 

Utawa III - Waregulari

45 
15 
60 

Utawa III - Wasekulari

69 
55 
124 

Waliovaa kamba

0 
4 
4 

Jumla

322 
169 
491 


Kati yao, 280 ni wafiadini, 3 mapapa, 14 maaskofu, 4 walimu wa Kanisa.